AFYAColleges | Mwongozo wa Vyuo vya Afya na Udahili Tanzania 2026
Msimu wa Udahili 2026

Mwongozo wa Uhakika wa Vyuo vya Afya na Kozi Tanzania

Ushauri wa kitaalamu, sifa za kujiunga na msaada wa maombi ya chuo kutoka kwa Dr. Adinan kupitia CollegePlan.

Chagua Njia Yako ya Masomo

🚀

Kwanini Uamini AFYAColleges na CollegePlan?

Tumewafikia na kuwasaidia wanafunzi zaidi ya 4,000 nchini kote kupata uelewa wa masomo ya afya. Kupitia miongozo na ushauri wetu, tumefanikiwa kuwaongoza kwa usahihi wanafunzi 598 kupata vyuo na kozi zinazovutia na kuwafaa kikamilifu.

4,000+ Waliosaidiliwa
598 Walioingia Chuo
98% Kiwango cha Mafile

Mchanganuo wa Haraka wa Kozi Maarufu

Sogeza kushoto/kulia kuona sifa kamili za sifa za vigezo vya NACTVET.

Kozi ya AfyaVigezo vya Kujiunga (CSEE)Kadirio la Ada (Tsh)
Clinical MedicineAlama D ya Bio, Chem, Phys na somo 1 lingine.900,000 – 1,200,000
Nursing & MidwiferyAlama D ya Bio, Chem, Phys na somo 1 lingine.900,000 – 1,500,000
Pharmacy SciencesAlama D ya Bio, Chem, Phys na somo 1 lingine.1,000,000 – 1,500,000
error: Content is protected !!
Scroll to Top