dr. adinan J., mshauri kwa wanaojiunga na kozi za afya

Chagua Kozi za Afya za Ndoto Zako

Kozi za afya zimegawanyika katika makundi mawili makubwa:

  1. Masomo ya Kliniki (Clinical): Huusisha uhusiano wa moja kwa moja kati ya mgonjwa na daktari au muuguzi.
  2. Yanayosaidia Matibabu (Allied Health Sciences): Husaidia katika utambuzi na matibabu ya magonjwa.

Usipofahamu makundi haya na vigezo vyake, unaweza kukata tamaa ukifikiri umekosa sifa, au ukachagua kozi isiyoendana na ufaulu wako. Mwaka jana na mwaka huu, kupitia CollegePlan (huduma yetu ya ushauri), tumesaidia wanafunzi zaidi ya 50 waliokuwa wamekosea kuchagua kozi kutokana na kukosa taarifa sahihi.

Kuchagua kozi ya afya ni moja ya maamuzi makubwa zaidi katika maisha ya mwanafunzi. Swali ambalo nimekuwa nikiulizwa kila siku ni: “Je, nina sifa za kujiunga na chuo cha afya?” au “Ni kozi gani ya afya inanilipa?”

Mwongozo huu utakuonyesha orodha ya kozi za afya zinazotolewa nchini, vyuo vinavyofundisha, vigezo vya NACTVET, na ada zao.

Timiza Ndoto Yako ya Afya

Usihangaike peke yako. Pata msaada wa kitaalamu kutoka kwa Dr. Adinan ili ufanikiwe kupata chuo unachokitamani.

BONYEZA HAPA KUPATA MSAADA SASA
  • Soma zaidi: Usiandike Maombi Kimakosa! Pakua ‘Mwongozo wa Udahili 2026’ ujue vyuo vyenye nafasi, sifa zao, na jinsi ya kuomba bila kukataliwa. Bofya Hapa Kupata Nakala Yako

Jedwali la Sifa na Ada za Kozi za Afya kwa ngazi ya diploma 2026

Hapa kuna muhtasari wa haraka wa sifa za kujiunga na vyuo vya afya vya serikali na binafsi. Hii itakusaidia kufahamu kama unakidhi vigezo kabla ya kuanza maombi.


Jina la Kozi (Health Course)
Sifa za Kujiunga (CSEE)Muda wa MasomoKadirio la Ada (Serikali)
Clinical Medicine (Utabibu)Alama D ya Bio, Chem, Phys na somo 1 lingine.Miaka 3Tsh 900,000 – 1,200,000
Nursing & Midwifery (Uuguzi)Alama D ya Bio, Chem, Phys na somo 1 lingine.Miaka 3Tsh 900,000 – 1,500,000
Environmental HealthAlama C ya masomo 3 (ikiwemo Hesabu).Miaka 3Tsh 900,000 – 1,200,000
Pharmaceutical Sciences (Famasia)Alama D ya Bio, Chem, Phys na somo 1 lingine.Miaka 3Tsh 1,000,000 – 1,500,000
Medical Laboratory (Maabara)Alama D ya Bio, Chem, Phys na somo 1 lingine.Miaka 3Tsh 1,000,000 – 1,400,000

Jedwali la Sifa na Ada za Kozi za Afya Ngazi ya Degree 2026

Hapa kuna muhtasari wa haraka wa sifa za kujiunga na vyuo vya afya ngazi ya degree na binafsi. Hii itakusaidia kufahamu kama unakidhi vigezo kabla ya kuanza maombi.

Jina la Kozi (Health Course)Sifa za Kujiunga (CSEE)Muda wa MasomoKadirio la Ada (Serikali)
Doctor of Medicine (Utabibu)Alama D ya Bio, Chem, Phys na somo 1 lingine.Miaka 5Tsh 4,000,000 – 5,200,000
Nursing & Midwifery (Uuguzi)Alama D ya Bio, Chem, Phys na somo 1 lingine.Miaka 3Tsh 900,000 – 1,500,000
Environmental HealthAlama C ya masomo 3 (ikiwemo Hesabu).Miaka 3Tsh 900,000 – 1,200,000
Pharmaceutical Sciences (Famasia)Alama D ya Bio, Chem, Phys na somo 1 lingine.Miaka 3Tsh 1,000,000 – 1,500,000
Medical Laboratory (Maabara)Alama D ya Bio, Chem, Phys na somo 1 lingine.Miaka 3Tsh 1,000,000 – 1,400,000

Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara (FAQ)

Naweza kusoma kozi za afya kama sina physics / fizikia?

Kwa kozi nyingi za kitabibu (Nursing, Clinical Medicine), Fizikia ni lazima iwe angalau Alama D. Hata hivyo, baadhi ya kozi za utawala wa afya zinaweza kuwa na vigezo nafuu zaidi.

Vyuo gani vya serikali vina ada nafuu?

Vyuo vingi vya serikali vilivyopo chini ya Wizara ya Afya na TAMISEMI vina ada inayofanana na hupangwa kwa mujibu wa miongozo ya serikali.

Timiza Ndoto Yako ya Afya

Usihangaike peke yako. Pata msaada wa kitaalamu kutoka kwa Dr. Adinan ili ufanikiwe kupata chuo unachokitamani.

BONYEZA HAPA KUPATA MSAADA SASA

error: Content is protected !!
Scroll to Top