Je, Vyuo vya Afya vya Serikali Vina Uzuri Huo?

Vyuo vya afyavya serikali vimegawanyika katika makundi 2 makubwa. Vyuo vya kati na vya elimu ya juu.

Kama ulikuwa unahitaji kufahamu orodha ya vyuo vya afya vya serikali vilivyopo karibu yako, hapa tutakupatia PdF ya bure. Pia, nitakuonesha namna unaweza kuvifahamu vyuo vyote unapotumia AFYAColleges App.

🔗 Soma pia: Vyuo vya Afya Tanzania (Orodha Kamili na Tofauti Zake)


Orodha Vyuo vya afya vya kati vya serikali

Vyuo vya kati vya serikali hutoa mafunzo katika ngazi ya diploma / stashahada na astashahada (certificate). Hii ni orodha ya vyuo vya afya vya kati vya serikali katika baadhi ya mikoa. Unaweza kufahamu orodha kamili kwenye AfyaColleges App.

Jina la ChuoMkoaAina ya Chuo
KCMC Assistant Medical Officers TrainingKilimanjaroSerikali
Mtwara COTCMtwaraSerikali
Mwanza Centre (Lyamungo)MwanzaSerikali
Singida Medical Training CentreSingidaSerikali
Tanga Centre (Bumbuli)TangaSerikali
Mbeya Medical Training CentreMbeyaSerikali
🎓

Usibahatishe Mustakabali Wako!

Kuchagua chuo sahihi ni hatua ya kwanza kuelekea kuwa daktari au nesi mwenye mafanikio. Fahamu vigezo muhimu vya kuzingatia ili usipoteze muda na gharama kwenye chuo kisichokidhi viwango.

FAHAMU JINSI YA KUCHAGUA CHUO BORA

⭐ Mwongozo huu umewasaidia zaidi ya wanafunzi 1,000 mwaka huu.

Orodha Ya Vyuo vya Elimu ya Juu vya Serikali

Vyuo vya juu vya serikali hutoa mafunzo katika ngazi ya shahada (degree), uzamili (masters) na Uzamivu (PhD). Hii ni orodha ya vyuo vya afya vya juu vya serikali katika baadhi ya mikoa. Unaweza kufahamu orodha kamili kwenye AfyaColleges App.

Jina la ChuoMkoaKozi Zitolewazo (Shahada/Degree)
MUHAS (Muhimbili University of Health and Allied Sciences)Dar es SalaamMedicine (MD), Pharmacy, Nursing, Dentistry, Laboratory Sciences, Environmental Health, Physiotherapy, Radiotherapy.
UDOM (University of Dodoma)DodomaMedicine (MD), Nursing, Medical Laboratory Sciences, Health Information Management.
MUST (Mbeya University of Science and Technology)MbeyaBiomedical Engineering, Medical Laboratory Sciences.
SUA (Sokoine University of Agriculture)MorogoroVeterinary Medicine, Biotechnology and Laboratory Sciences.
Mzumbe UniversityMorogoroHealth Systems Management.
OUT (Open University of Tanzania)Nchi NzimaPublic Health, Nursing.
DIT (Dar es Salaam Institute of Technology)Dar es SalaamBachelor of Engineering in Biomedical Engineering.
MoCU (Moshi Co-operative University)KilimanjaroHealth Administration.

Gharama za vyuo vya afya vya serikali

Gharama ya vyuo vya afya ya serikali huanzia hutegemea ngazi ya elimu na kozi husika. Kwa kozi za diploma ada huwa kati ya TSh. 700,000/= mpaka 1,400,000/=.

Ada ya kozi za afya za elimu ya juu huanzi TSh. 1,500,000/= mpaka 2,500,000/= kwa mwaka. Kumbuka hizi ni ada (tuition fee), hazijumuishi pesa zote mwanafunzi anazohitaji ili kuishi vyuoni.

error: Content is protected !!
Scroll to Top